This is possible because of donations from our community. If you value the privacy that Tor offers yourself and others, please make a donation today. You’ll ensure Tor continues to provide online privacy to everyone who needs it.
Mashambulizi ya kuzuia upatikanaji wa huduma zilizosambazwa (DDoS) hutegemea na kuwa na kundi la maelfu ya kompyuta ambazo hutuma mfufulizo wa upekuzi kwa mwatirika. Ikiwa lengo ni kuzidisha nguvu za kiwango cha taarifa kwa mwathirika, kwa kawaida hutuma pakiti za UDP kwakua hazihitaji wadau au uratibu.
Lakini Tor husafirisha njia sahihi za TCP tu, sio kila pakiti za IP, huwezi kutuma pakiti za UDP katika Tor. (Huwezi kufanya fomu maalum katika shambulio hili kama mafuriko ya SYN.) Hivyo mashambulizi ya DDoS hayawezekani katika Tor. Tor pia hairuhusu ukuaji wa mashambulizi ya data dhidi ya tovuti za nje: Unatakiwa kutuma byte kwa kila byte ambayo mtandao wa Tor itakakutumia katika sehemu uliyopo. Kwa ujumla, washambuliaji wanaoendesha data za kutosha kuzindua ufanisi wa mashambulizi ya DDoS wanaweza kufanya vizuri bila Tor.
PakuaTor Browser ili kupata uzoefu wa kuperuzi mtandaoni bila kufuatiliwa,kuchukuliwa taarifa zako na kudhibitiwa.
Pakua Tor BrowserKukuza haki za kibinadamu na uhurukwa kuunda na kusambaza teknolojia huru zinazopatikana bure na zenye kuwa na faragha na kutojulikana, kusaidia kutokuwa na upatikanaji na matumizi yaliyozuiliwa, na kuongeza uelewa wao wa kisayansi na mkubwa.
Alama ya biashara, tangazo la hatimiliki, na sheria za kutumiwa na wahusika wasio wa moja kwa moja zinaweza kupatikana katika FAQ yetu.